"Kuna ndugu yangu aliumwaga ugonjwa kama huo miaka mingi kidogo, ila ishu ni uparesheni hapo utumbo utakuwa umeongezeka urefu wa kipimo kinachotakiwa kwa mwanadamu na badala yake hawezi kupata hamu ya kula na hata akila basi ni kidogo sana na anaweza kukaa siku tatu bila kwenda choo kwasabab utumbo unasafirisha taka unakuwa una tatizo na kupunguza perfomance yake. kupona atapona iwapo mwenyez mungu atapenda ndugu yetu aishi. nenda naye hospitali wapige x-ray... kila la kheri mkuu mungu awe pamoja nanyi"Habari zenu jamani.
Kuna jamaa yangu nimepita kumsalimu ila hali yake si shwari kabisa.
Amevimba tumbo anasema ni mwezi wa sita sasa, anasema tumbo linauma
amepoteza hamu ya kula na hata akila anakula kidogo sana.
Naombeni msaada wenu nijue nianzie wapi kumtafutia tiba ya ugonjwa huu.
Je unafahamika kitaalamu?
Kwa Dar es salaam ama Mbeya ni wapi naweza kumpatia matibabu?
Binafsi nilifikiria kumpeleka Muhimbili.
Tumbo lina ukubwa kama ujauzito wa miezi saba-nane.
ahsante sana jumatatu ntafanya hivyo. chakula anakula kidogo mno yaani toka jana mchana mpaka leo hajala chochote."Kuna ndugu yangu aliumwaga ugonjwa kama huo miaka mingi kidogo, ila ishu ni uparesheni hapo utumbo utakuwa umeongezeka urefu wa kipimo kinachotakiwa kwa mwanadamu na badala yake hawezi kupata hamu ya kula na hata akila basi ni kidogo sana na anaweza kukaa siku tatu bila kwenda choo kwasabab utumbo unasafirisha taka unakuwa una tatizo na kupunguza perfomance yake. kupona atapona iwapo mwenyez mungu atapenda ndugu yetu aishi. nenda naye hospitali wapige x-ray... kila la kheri mkuu mungu awe pamoja nanyi"
Habari zenu jamani.
Kuna jamaa yangu nimepita kumsalimu ila hali yake si shwari kabisa.
Amevimba tumbo anasema ni mwezi wa sita sasa, anasema tumbo linauma
amepoteza hamu ya kula na hata akila anakula kidogo sana.
Naombeni msaada wenu nijue nianzie wapi kumtafutia tiba ya ugonjwa huu.
Je unafahamika kitaalamu?
Kwa Dar es salaam ama Mbeya ni wapi naweza kumpatia matibabu?
Binafsi nilifikiria kumpeleka Muhimbili.
Tumbo lina ukubwa kama ujauzito wa miezi saba-nane.
"Nayaelewa hayo yote, asifadhaike atapona jamaa yetu"ahsante sana jumatatu ntafanya hivyo. chakula anakula kidogo mno yaani toka jana mchana mpaka leo hajala chochote.
Habari zenu jamani.
Kuna jamaa yangu nimepita kumsalimu ila hali yake si shwari kabisa.
Amevimba tumbo anasema ni mwezi wa sita sasa, anasema tumbo linauma
amepoteza hamu ya kula na hata akila anakula kidogo sana.
Naombeni msaada wenu nijue nianzie wapi kumtafutia tiba ya ugonjwa huu.
Je unafahamika kitaalamu?
Kwa Dar es salaam ama Mbeya ni wapi naweza kumpatia matibabu?
Binafsi nilifikiria kumpeleka Muhimbili.
Tumbo lina ukubwa kama ujauzito wa miezi saba-nane.
ndiyo mgonjwa nipo naye nyumbani anaendelea kutumia dawa, maji yameondolewa na wanasema ni tatizo la ini.