Mambo Safi Member Joined Mar 25, 2017 Posts 36 Reaction score 9 Mar 27, 2017 #1 Habari zenu wakuu, Naomba Msaada Kwa wale ambao wanaofahamu Tiba Au Mbinu zozote za kuzuia Kigugumizi wanisadie maana sasa limekuwa Tatizo Kwangu. Nawasilisha kwenu wakuu.
Habari zenu wakuu, Naomba Msaada Kwa wale ambao wanaofahamu Tiba Au Mbinu zozote za kuzuia Kigugumizi wanisadie maana sasa limekuwa Tatizo Kwangu. Nawasilisha kwenu wakuu.
mtakavyote Senior Member Joined May 21, 2015 Posts 143 Reaction score 71 Mar 27, 2017 #2 Jitahidi uwe unaongea taratibu, kama umri wako bado ni mdogo kigugumizi huweza kuisha chenyewe au waweza muona speech therapist kwa msaada zaidi
Jitahidi uwe unaongea taratibu, kama umri wako bado ni mdogo kigugumizi huweza kuisha chenyewe au waweza muona speech therapist kwa msaada zaidi