Salaamu zenu wakuu, nimekuwa na ugonnjwa wa kutokwa na viupele sehemu za siri harafu baada ya kupona vinatokea vidonda mdomon na hupelekea kupata hadi homa, na hujitokeza mara moja kwa kila mwezi ss nashidwa kujua ni ugonjwa ngani na nn tiba yake msaanda jaman maana huwa yananisumbua sana , nawasilisha