Mung Chris JF-Expert Member Joined Sep 12, 2017 Posts 3,391 Reaction score 3,849 Sep 16, 2017 #1 JF doctors, Naomba msaada kuna mzee flan mwenye umri wa miaka 70 anatokwa na mkojo, yani anaweza kukaa tu mkojo ukatoka wenyewe tatizo ni nini, sio mlevi wala mtumiaji wa dawa zozote za kulevya. msaada ili tumsaidi na tiba yake ni nini. Asanteni
JF doctors, Naomba msaada kuna mzee flan mwenye umri wa miaka 70 anatokwa na mkojo, yani anaweza kukaa tu mkojo ukatoka wenyewe tatizo ni nini, sio mlevi wala mtumiaji wa dawa zozote za kulevya. msaada ili tumsaidi na tiba yake ni nini. Asanteni
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 44,855 Reaction score 189,385 Sep 16, 2017 #2 Uzee pia ni moja ya sababu. Ila ungesogea karibu na hospital ukakutana na bigwa kuhusiana na maelekezo na vyakula gani vitamsaidia zaidi.
Uzee pia ni moja ya sababu. Ila ungesogea karibu na hospital ukakutana na bigwa kuhusiana na maelekezo na vyakula gani vitamsaidia zaidi.
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Sep 16, 2017 #3 Ni hospitali tu hamna namna