kisiki kizito
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 676
- 858
Ahsantee Mkuu.. Ngoja nisubiri madoctor wanijibuKwa Niaba ya ioseverest nakupa Pole mkuu
Mkuu ahsante Ila Sasa Naomba kama unaweza kunielekeza sehemu... Kwan sehemu nilizoenda wamekuwa wakinipa Dawa zinazoanzisha magonjwa mengne na CYO kutibuKakutane na daktar bingwa wa magonjwa ya ngozi. Huyo atakusaidia zaid.
Mkuu nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia maradhi yako upate kupona.Habari wakuu
Nimekua nikisumbuliwa na tatizo usoni la nyama zilizotoka baada YA makovu YA chunusi.. (keloidi) Naomba kujua namna YA kuondoa tatizo hilo
Ahsanteni