Mkuu.@kibega Pole sana kabla ya kukupa Dawa zetu za asilia Mitishamba tuna maswali tunayo taka kukuliza je umekwenda Hospitali kutumia dawa yoyote ile ya vidonda vya tumbo?Na kama umekwenda Hospitali na kutumia dawa je zimekusaidia kwa hayo matatizo yako? ninakuomba unijibu nipate kukupa ushauri wangu mzuri huenda ukapona inshallah ukifuata ushauri wangu asante.