Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Makosa ambayo Watanzania wengi hawafahamu lakini yanaweza kuwatia hatiani kwa mujibu wa sheria
1. Uzururaji
2. Ukahaba
3. Kuumiza hisia za mtu mwingine kwa makusudi
4. Kutukana dini za watu wengine
5.
Makosa gani mengine ambayo Watanzania wengi hawayafahamu lakini yanaweza kuwatia hatiani kwa mujibu wa sheria?
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Uzururaji
2. Ukahaba
3. Kuumiza hisia za mtu mwingine kwa makusudi
4. Kutukana dini za watu wengine
5.
Makosa gani mengine ambayo Watanzania wengi hawayafahamu lakini yanaweza kuwatia hatiani kwa mujibu wa sheria?
Sent using Jamii Forums mobile app