Kimbweka JF-Expert Member Joined Jul 16, 2009 Posts 8,597 Reaction score 1,690 Oct 7, 2011 #1 Habarini wakuu! Ninaomba kueleweshwa kwa anayejua vizuri Je faida gani wakala wa kuuza LUKU na VOCHA anaipata kutokana na utoaji wa huduma hii. Hasa kwa wale wanaotumia zile mashine za maximalipo?
Habarini wakuu! Ninaomba kueleweshwa kwa anayejua vizuri Je faida gani wakala wa kuuza LUKU na VOCHA anaipata kutokana na utoaji wa huduma hii. Hasa kwa wale wanaotumia zile mashine za maximalipo?