Dah, Kwa Vile Ngozi Imekomaa Sana Utatahiriwa Katika Kigogo cha Buchani, Yaani Shoka Moja Govi Chini linagombaniwa na mapaka wa Muhimbili.
Kuhusu Kupona Watu waliokomaa hupona haraka kwa vile wanakuwa ni waangarifu zaidi ktk kidonda hivyo hata ndani 3weeks, lakini ni lini utaanza kuchakachua nakushauri ufuate ushauri kutoka kwa Daktari atakaye kukata maana ndiye atayejua zaidi hali ya maendele yako kwa ujumla, zingatia sana maana ukifumua tunakurudisha ktk kigogo tunaichuna yote maana utakuwa unatusumbua.
Tusitafutane Mkuu Mimi nakushauri 2 kwa heri!