kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,239
Ndugu wajasiria mali, nimebahatika kupata ekari 30 kwa ajili ya kilimo. Na eka tano kwa ajili ya ujenzi wa nyumba huko mashambani. Nategmea mwakani niachane na ajira nikafanye shughuli za ukulima na ufugaji.
Naombeni msaada kwa yeyote anaye fahamu namna bora ya kufuga mbwaa. Pamoja na upatikanaji wa mbwa wazuri kwa ulinzi. Gharama za manunuzi, napenda nianze kufuga mbwa 2 mapema ili pindi nikiamia mashambani nahamia nao.
Natanguliza shukrani.
Naombeni msaada kwa yeyote anaye fahamu namna bora ya kufuga mbwaa. Pamoja na upatikanaji wa mbwa wazuri kwa ulinzi. Gharama za manunuzi, napenda nianze kufuga mbwa 2 mapema ili pindi nikiamia mashambani nahamia nao.
Natanguliza shukrani.