Nikisikia m2 anataja gono Enzi hizi za ukimwi mwili unanisisimka.
wamoro kuna Dakitari hapo juu ningekushauri u-mpm nafikiri atakusaidia sana. pole sana my broda
Dorin, tema mate chini, huyu huyo unayemwamini anaweza kulileta kwako, haya mambo si ya kushangaa omba mungu tu aendelee kukulinda.
KAKA NA DADA ZANGU WADAO WOTE WA BLOG!
NAWASALIMU KWA MLIO WA HUZUNI NUKIOMBA MSAADA WENU WA HALI NA MALI.
NMEKUWA NIKISUMBULIWA NA UGONJWA WA GHONOREA KWA MUDA WA MIAKA 3 SASA,NIMEKUNYA KILA AINA YA DAWA ZA HOSPITALI BILA KUPATA SULUHISHO,NIKINYWA UGONJWA UNATULIA KWA MUDA UNARUDI TENA.NIMEPIMA VIPIMO VYOTE IKIWEMO HIV NIMEJIKUTA NIKO SALAAMA.
NAOMBA MSAADA WA HALI NA MALI WADAU,NITUMIE DAWA GANI NYINGINE NIPONE? ZA HOSPITALI NI NYINGI NIMETUMIA NA NI BAADA YA KUFANYIWA CULTURE LAKINI WAPI.
NIANDIKIENI PIA KWA kulwa21tz@googlemail.com
au awe na mpenzi mmoja mwaminifueeh!pole mwanakwetu!!hope utapata dawa!hakikisha unatumia condom kila ukijamiiana sasa na hata utakapopona!!!
amekwmbia dawa za hospitalini zimeshindwa. umeelewa? akimbilie kwa Mungu tu.
KAKA NA DADA ZANGU WADAO WOTE WA BLOG!
NAWASALIMU KWA MLIO WA HUZUNI NUKIOMBA MSAADA WENU WA HALI NA MALI.
NMEKUWA NIKISUMBULIWA NA UGONJWA WA GHONOREA KWA MUDA WA MIAKA 3 SASA,NIMEKUNYA KILA AINA YA DAWA ZA HOSPITALI BILA KUPATA SULUHISHO,NIKINYWA UGONJWA UNATULIA KWA MUDA UNARUDI TENA.NIMEPIMA VIPIMO VYOTE IKIWEMO HIV NIMEJIKUTA NIKO SALAAMA.
NAOMBA MSAADA WA HALI NA MALI WADAU,NITUMIE DAWA GANI NYINGINE NIPONE? ZA HOSPITALI NI NYINGI NIMETUMIA NA NI BAADA YA KUFANYIWA CULTURE LAKINI WAPI.
NIANDIKIENI PIA KWA kulwa21tz@googlemail.com
Dorin anajaribu kumnyooshea kidole kimoja huyu bwana kaka, anasahau vitatu vinamtazama yeye. Kama alivyosema Elnino haya mambo ni kumuomba Mola tu akuepushe nayo hayana pahala bana popote yanatuaDorin, tema mate chini, huyu huyo unayemwamini anaweza kulileta kwako, haya mambo si ya kushangaa omba mungu tu aendelee kukulinda
jaribu Kupata Mizizi ya Mkorosho Uchemshe na maji Unywe kutwa Mara tatu Glasi tatu za hayo maji uliyochemsha fanya hivyo kwa muda wa siku saba
MM asante sana kwa ushauri unaoutoa kwa wadau hapaupate Mizizi ya Mkunazi na Asali Safi mbichi ya nyuki hiyo Mizizi ya Mkunazi Uiweke juani kama siku tatu ikikauka twanga hiyo mizizi upate unga wake uchanganye na hiyo asali mbichi Safi kama nusu kilo upate hiyo asali mbichi safi matumizi uwe unakunywa Asubuhi mchana na usiku kutwa mara tatu ukitumia kijiko kikubwa cha kulia wali kwa kulia hiyo dawa . Tumia hiyo Dawa kwa uchache wake ni siku 7 Wingi wake ni siku 21 inshallah kwa uwezo wake Mwenyeezi Mungu utapona.
WAMORO MKUU WEWE NI MWANAUME AU MWANAMKE?
JINSIA YAKO SIIJUI HIVYO NITAKUCHUKULIA KAMA MWANAUME na maelezo yanaweza kubadilika kama wewe ni mwanamke
Sasa naomba jibu yafuatayo
[I]UGONJWA HUO ULIUPATIA NCHI GANI?
Una uhakika gani kama ni ghonorea?
Toa vithibitisho vifuatavyo
Nitajie dalili unazokutana nazo kama ifuatavyo
[a] Asubuhi unapoamka unaona kitu gani,kwenye uume?Unapokojoa mkojo unapotoka unaambatana na aina gani ya maumivu?[c]Wakati unafanya tendo la ndoa kipindi uko kileleni je hujisikia raha au maumivu?[d] Matongotongo kwenye macho vipi?yameongezeka au yamako kama kawaida?
[e]Kama ni mnywaji wa bia je huwa unaona mabadiliko gani kwenye tundu la mkojo asubuhi ifuatayo baada ya kuamka?zingatia na vuta kumbukumbu zaidi kipindi kile unaposema kuwa umepotea
1. Ulitumia test gani kuthibitisha kuwa ugonjwa ulinao nao ni ugonjwa wa zinaa
2. Taja aina ya wadudu uliokutwa nao,tafahali andika jina la hao wadudu
3. Ulifanya culture ipi?na ilikuwa sensitive kwenye dawa gani?
4. Taja aina ya wadudu wa culture ya kwanza na ya sasa,na eleza utofauti wa sensitivity zao kwa antibiotics.
5. Unasema unatumia dawa unapotea halafu unarudi?Unatumia dawa gani?naomba jina na dozi je ni sindano au vidonge?
6. Pindi unapopetea umekuwa unathibitishaje kama umepotea
TUANZIE HAPO KWANZA
MM asante sana kwa ushauri unaoutoa kwa wadau hapa
Nataka kujua huo Mkunazi ndio mti wa aina gani? Binafsi siujui na wala sijui unapatikana maeneo gani ya nchi yetu. Please