Wasalaam wanaJF,
Naomba Msaada wa kitaalam utakaoniwezesha kupaua kibanda changu kilichopo Tanga kwa garama nafuu.....
Bati napendekeza ziwe za migongo myembamba lakini za rangi(red/blue), Mbao zipo, nahitaji gharama za fundi na namna ya kuzipata bati pendekezwa kwa unafuu. Kibanda kina vyumba vinne, jiko, sebleni na dinning. Nashukuru kama nitakuwa nimeeleweka...