Nothing4good
Senior Member
- Feb 19, 2011
- 180
- 55
Hivi upo eheeeeeNathing4good ume-misuse namba ya mtu. ni vema umeligundua hilo ukaomba msamaha. mwenzio kaweka kutafutia mchuchu wewe unamuulizia kujiunga JF..................
Anyway, karibu sana
Na mimi naitwa TF ni akak yake MichelleKaribu sana,habari ya hapa ni njema....naitwa Michelle......ujisikie huru kabisa!!!
Napenda kumshukuru huyu kaka aliyeweka namba yake kwenye thread ya natafuta mpenz na wale wote wenye tabia ya kuweka no za simu kanisaidia sana huwezi amini nilikua nikitamani sana kuingia humu lakini nilikua siwezi.nawasalimu sana wana jf KHABARIII YA HAPA!! Ingawa namba yako uliiweka kwa madhumuni mengine sorry
Nipo TF, salama wewe? karibisha mgeni umfundishe na PM zinatumikajeHivi upo eheeeee
mi sijaelewa jamani.....hiyo namba imekusaidiaje?
Preta halafu wewe, yaani wewe!!!!!mi sijaelewa jamani.....hiyo namba imekusaidiaje?
ngoja nimwambie ajaribu kunitumia pm ili nione kama pm zangu zinafanya kazinipo tf, salama wewe? Karibisha mgeni umfundishe na pm zinatumikaje
Preta, mi nilivyoelewa alimpigia simu kuulizia jinsi ya kujiunga JF
Preta halafu wewe, yaani wewe!!!!!
asante dear kwa kunielewesha.....lakini mpaka akaweza kuiona hiyo namba ya simu si alikuwa keshaingia JF?....well....yote ni kheri.....karibu mjengo wa JF mgeni
Yaani i am so :angry::angry::angry::angry::angry: at youhivi ni kwa nini lakini......unitupe namna hiyo?
mi sijaelewa jamani.....hiyo namba imekusaidiaje?
Ulimbipu halafu akakupigia. Ehe dada unasemaje?
Ooh! Samahani wewe nimeona namba yako jf unatafuta mchumba, kwahiyo mimi nimeona nikubip ili unielekeze namna ya kujiunga.....
Khaaa! Mbona haijakaa njema.
Mkuu upo????Yaani wewe unanikuna na majungu yako ya kizushi NAKUPENDA BURE NITAKUPIGIA SIKU MOJA NAMI NIANZE KUJIELEZA