Dannis
JF-Expert Member
- Jan 21, 2016
- 1,603
- 1,702
Habari wakuu,
Wiki chache nyuma nilikuja jukwaani kuomba msaada wa jinsi ku block users amabo wanapata access ya password,
Baada ya kuitumia Router ya Airtel kwa kipindi kirefu sasa imeanza kunipa kuchangamoto kadhaa ikiwepo kupungua kwa kasi ya internet nimechoka kuvumilia ikumbukwe nalipia kifurushi 110,000/- kila mwezi
Naomba msaada wa ku unlock hii router ili niweze kutumia laini ya mitandao mingine.
Wiki chache nyuma nilikuja jukwaani kuomba msaada wa jinsi ku block users amabo wanapata access ya password,
Baada ya kuitumia Router ya Airtel kwa kipindi kirefu sasa imeanza kunipa kuchangamoto kadhaa ikiwepo kupungua kwa kasi ya internet nimechoka kuvumilia ikumbukwe nalipia kifurushi 110,000/- kila mwezi
Naomba msaada wa ku unlock hii router ili niweze kutumia laini ya mitandao mingine.