Mkuu SENGATI Ukitaka Baba yako asifanyiwe Oparesheni ya Upasuaji mimi ninayo dawa akitumia kwa muda wa miezi 2 atapona bila ya kufanyiwa Operesheni ya upasuaji ukihitaji hiyo Dawa nitafute kwa wakati wako kwa kubonyeza hapa.MawasilianoSalaam,
Naombeni sana msaada wa kupata daktari atakaemtibu baba yangu anasumbuliwa na uvimbe kooni (Goita).. Nimetafuta huduma sehemu nyingi but hajapata nafuu nahisi the best option ni kufanyiwa upasuaji. Wataalamu wangu nitashukuru sana kama nitapata daktari bingwa atakayemtibu baba yangu. Mimi niko Dar es salaam. ASANTE