Msaada wa upingufu wa testosterone

Msaada wa upingufu wa testosterone

kichonge2013

New Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
2
Reaction score
0
Habari wanandugu..... Mimi ni mgeni humu. Nina miaka 27... Tatizo langu ni kwamba nina hisi testosterone zangu zimeshuka maana uume unashindwa kusimama vizuri na msisimko umepungua, je hapa dar ni hospital gani naweza kwenda kupatiwa vipimo na tiba kamili.... Kwa yeyote anayefahamu anafahamishe
 
Back
Top Bottom