kwa navyojua hakuna tin namba ya biashara au personal. all is same. lesini ya stationary haizi 80000, tra,150000,upto 200000. ukienda kujielezea kama sonko fulani ivi utalipa 450000 upto 1000000.
ukienda kata leseni hakikisha una experiance na ubahili wa kuongea herufi, yaani ndo unaanza hali ngumu,fotocopy na computer, hujanunua umehodhi toka kwa famili member ivi ,watakueka nchi . usiwe na mkono mfupi.