Msaada wa Ushauri jamani!

Ndege Tausi

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2013
Posts
992
Reaction score
472
Kuna ndugu yangu kaishi na mume wake miaka kadhaa bila kumzalia mtoto bado wanaishi wote. Mume wake amezaa watoto wa kike na wa kiume nje ya ndoa yake. Kwa kuwa wao ni mume na mke mali zao zote zimeandikwa jina la mume mke akiamini kwamba wao ni kitu kimoja. Wote wawili mke na mume wanafanya kazi na kuchangia maendeleo yao. Swali, je hii mali waliyochuma pamoja mume anaweza kuwarithisha watoto wake aliozaa nje ya ndoa? Halafu, je mke naye akifariki ndugu zake wanaweza kupata haki ya kurithi mali za ndugu yao? Ushauri tafadhali.
 
Kama nidhanivyo niko sahihi,mali itaendelea kuwa chini ya usimamizi wa mume na mke till mmoja wao atakapofariki ndipo abaki msimamizi mmoja aliye hai...na kama wote hawapo ndipo mali zatagawanywa equally kwa watoto!

Chokochoko za mirathi mara nyingi huanzwa na watu mlio pembeni ya ndoa,kwa mfano wewe mleta maada kama ukiwa muungwana ningependa sababu za kuhoji miradhi ya ndugu yako whom still yuko kwenye ndoa na yuko hai!
 
Chokochoko za mirathi mara nyingi huanzwa na watu mlio pembeni ya ndoa,kwa mfano wewe mleta maada kama ukiwa muungwana ningependa sababu za kuhoji miradhi ya ndugu yako whom still yuko kwenye ndoa na yuko hai![/QUOTE]

Miye nataka kumsaidia kwani yeye mwenyewe kishaonesha wasiwasi kwa kuwa mumewe anaendelea kuzaa watoto wa nje kibao!
 

it is there at the library go and read..mkuu iyo ni assignment go and read ...yaan wee ukikutana na pro. majamba ni disco home
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…