Msaada wa ushauri kwa anayejua

Captain 22175

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2018
Posts
249
Reaction score
407
Msaada wakuu, gari yngu ilikaa pasipo kuwashwa Kwa almost a year, Leo nilikua nataka kuiwasha ikakataa so nikaita fundi umeme na engine. Baada ya kuhangaika sana computer ya fundi umeme imeleta hili tatizo Sasa wajuzi naomba ushauli wenu tafadhali.

Computer ndo hiyo na gari ndo hiyo.



Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 

Gari ina engine gani? V type au Inline?

Probably panya wamekula waya ya Camshaft position Sensor.

Angekuwa anaweza kuangalia angeangalia kama hiyo sensor ina generate signal yoyote.
 
kwa Benz sababu za hiyo code ni hizi.

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]



Before Mnunue chochote hasa hiyo sensor make sure mmeconfirm kama inagenerate signal.
 
Mmecheki kwanza battery kama ina voltage ya kutosha ? Kununua sensor iwe zoezi la mwisho, muanzie kwenye battery halafu wiring mpaka kufika kwenye hiyo camshaft sensor. Ila kuiacha benz kwa zaidi ya miezi sita bila kuipiga moto ni risk sana, ianonekana ya kwako umebahatika kupata tatizo dogo maana hata hiyo sensor ukisema uagize online haina bei ya kutisha.
 
Thanks much

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…