Hongera kuwa na wazo hilo la biashara Mkuu
Ila binafsi naona huo Mtaji wako wa 1.5M hautoshi
Ukichukua Mchele 500kg @1,700 =850,000
Usafiri labda Ls@60,000=60,000
Mzani 1@120,000=120,000
Fremu 100,000@miezi 6=600,000
Hapo hujalipa
~Leseni ya biashara
~Kodi
Binafsi nashauri bora hiyo hela ukanunue matunda na ufungue Banda uweze kufanya hiyo biashara ya matunda
Kama utaweza kafungue mabanda mawili Moja uza mwenyewe then lingine mwajiri Kijana akusaidie
DSM matunda ni ghali sana, ndizi moja tunanunua shilingi 300, parachichi shilingi 2,000, Chungwa shilingi 250
So ukijipanga vizuri unaweza kutengeneza Faida kubwa at low investment capital