Msaada wa ushauri/Nasaha..

Ha ha haaa, Mi nadaiwa simu kaka mpaka polisi tumefikishana
lakini nimetoa nje, eti haiwezekani lazima nimrudishie kisa hajawahi
hata siku moja...... upuuzi!

duh kwani yalikuwa ndo makubaliano yenu????
 
Ha ha haaa, Mi nadaiwa simu kaka mpaka polisi tumefikishana
lakini nimetoa nje, eti haiwezekani lazima nimrudishie kisa hajawahi
hata siku moja...... upuuzi!

The boss amenipa somo kuu ..its risk taking, kwa chochote utachomfanyia bf/gf..
 
Mapenzi yanajijenga na hayajengwi kwa kulazimisha.
Unapaswa umshukuru mungu kwa kumuumbua huyo mnafiki wa mapenzi kabla haujamuoa.
Piga moyo konde,
si kwamba hakuna maisha bila yeye, bali hakuna maisha bila pumzi.
Nakutakia kila la kheri ndg.
 
sasa wwe untaka tukushauri nni mana kusoma hujui hata picha tu.................hvo vitu uliombwa si ulimbukeni wako tu

mikatabafeki unajua maana ya kupenda?kwa mtu unayempenda ata jamaa aliyoyafanya ni madogo watu wanajenga mpaka na nyumba wakiwa nje na wanapo rudi wanakuta hewa,kitu kupenda acha bwana
 

napenda nikueleze kuwa, sio wote wakuitao rafiki ni marafiki, ila hauwezi kuwatambua hadi uwape nafasi ya kukuita rafiki.
Imani imepotea. Wivu umetawala. Marafiki wengi ni wanafiki.
 
<br><br>

ni kweli mkuu usemayo kabisa maana huwezi kujua mungu kakuepusha na balaa gani
 
Pole sana,inauma sana muombe mungu akupe ujasiri na moyo wa kusamehe na kusahau.things happen for some reason,gari kitu gani bwana
 
easy man its a matter of time ul be fine, meet friends a lot, have fun, watch football, catch up with ur family member, do the things which make u feel better, dont be indoors, learn a new hobby, in shorty keep urself busy n ul be just fine...without her in ur life..pole sana n al da best
 

You deserve, angalia kwenye story uliyotoa wapi ulichemka. Kwa sababu huna macho ya imani basi utaishia kuona wanawake wazuri wanapita!
 
Jipe moyo utayashinda haya majaribu tu kwa mwanaume. Inabidi uwe makini na maisha...u neva knw u have a beautiful surprises ahead of u. Ukubali tu na kusonga. Umesoma maisha utayaweza bila shaka na bila huyo bibiye. Take the experience as a challenge and move on.
 
Pole sana kaka,piga moyo konde na songa mbele huku ukimwomba Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu, ni mapito tu kaka, hebu sikiliza wimbo wa bahat bukuku unaitwa mapito,au christina shusho new albam inatwa kwa kanisa la kristo, kuna wimbo unaitwa ni mapito,una msg nzuri sana na utakufariji. Nakupa pole sana na Mungu akubariki.Amen
 
You deserve, angalia kwenye story uliyotoa wapi ulichemka. Kwa sababu huna macho ya imani basi utaishia kuona wanawake wazuri wanapita!

caroline my dear,do u know pain of love au umejiandikia tu bibie? Is not easy as u think to leave some one u real real love,so please stop it if u never experience a such thing.usimtukane mamba kabla hujavuka mto.ni ushauri tu!
 
Thanx..that's why am still alive..may be I've got beautiful surprise ahead, as u say.asante.
 
You deserve, angalia kwenye story uliyotoa wapi ulichemka. Kwa sababu huna macho ya imani basi utaishia kuona wanawake wazuri wanapita!

Thanx. Real I deserved all those.! Na hapo ndo najuta kuona how i deserve all the hell am passing. Kwamba kuna wanawake wazuri.?? Sawa tu..let them be.but what I know mwanamke hawezi kuwa mzuri bila uwepo wa wanaume..sijui kama umenielewwa..anyway. its my fault. Thnx.
 

Asante kwa ushauri wako. Nitazingatia. Merci beaucoup!!.
 
Pole sana kaka! ni vigumu sana kusamehe but imeshatokea. Haikua bahati yako, mwachie Mungu kwani kisasi ni juu yake. Wewe Muombe Mungu, jitahidi kumsahau, ikiwezekana hata nenda kaanze maisha a fresh mahali pengine. Huyo ni mtu tu, mmekutana nae, hukuzaliwa nae so hana power ya kuharibu maisha yako no matter how much time and money you have spent on her, kama mali utapata nyingine! You have your Masters degree, fanya kazi kwa bidii na kumbuka "time is a good healer" all will come to pass! Ndio maisha yalivyo! kuumia, kuumizwa, is part of it!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…