Salamu ndugu na Jamaa zangu wote.poleni na pongezi kwa majukumu makubwa ya kizalendo kwa Taifa letu zuri sana la Tanzania.
Naombeni ushauri waharaka mke wa rafiki yangu kutokana na maelezo ya rafiki yangu anatatizo la kubleed muda mrefu na kwa wakati sio wake na ametumia dawa bado ngumu naombeni ushauri wenu Wa haraka sana asanteni