hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Nimenunua gari aina ya fuso
Sasa bodi yake ni zile kama za kubebea samaki zile za bati
Watu wengi wanashauri nishushe bodi zima na niweke bodi jipya la bati swali kwa wataalam napenda kujua faida na hasara
Pia naomba mtu yoyote mwenye utaalam wa kutengeneza hizo bodi za mabati anambie hapa anafanya kwa sh ngapi
Sasa bodi yake ni zile kama za kubebea samaki zile za bati
Watu wengi wanashauri nishushe bodi zima na niweke bodi jipya la bati swali kwa wataalam napenda kujua faida na hasara
Pia naomba mtu yoyote mwenye utaalam wa kutengeneza hizo bodi za mabati anambie hapa anafanya kwa sh ngapi