Msaada wa ushauri wa kisheria kazini

Msaada wa ushauri wa kisheria kazini

silver25

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
743
Reaction score
44
Jamani hili langu mimi mwenyewe
nimekuwa nikifanya kazi kwa takribani miaka 5 sasa na shirika moja la kimataifa hapa nchini, na position yangu ni ya juu tu.

1. Mshahara wangu umekuwa haulidhishi tokea ninaanza kazi na kila siku nimekuwa nikiwaweka kikao ili waniongezee na kunambia policy ya nchi yao hairuhusu.
2. Salary increment kwa kila mwana tuandikapo mkataba mpya imekuwa shida kwani mimi na mtu aliye anza juzi mshahara upo sawa, nashangaa no serniority hapa?
3. Seating allowance kwa kikao chochote tunacho kaa cha office yetu haitolewi na hilo pia wanasema policy ya nchi yao haviruhisi.
4. Kuna kitu kama medical insurance hili si lalazima kwa international organisation kuwapatia local employees? Maana wao wanayo ila si wafanyakazi wa kitanzania.
5. Per dm, wafanyakazi wa kitanzania wanapewa kwa ugomvi kitu ambacho nakishangaa sana hapa.
6. Leave, siku za likizo zikibaki huwa hazilipwi kwa muda wote ambao nimekaa nao.

Sasa nimechoka na hivi vitu vdogovidogo na ninaona kuna haki fulani naikosa hebu nisaidieni niweze kupigania haki yangu niliyo zulimiwa kwa muda wa miaka mitano.

Naanzia wapi, natokea wapi na nini natakiwa nikipiganie na kipi nikiache. Kwa organisation hii iliyo chini ya ubalozi flani.
 
Tatizo ni kwamba, ni ngumu sana kwa wanasheria kutoa ushauri kwa facts ambazo hazijitoshelezi....
Mi nakushauri uonane na mwanasheria uso kwa uso...
 
Naomba msaada wa SHERIA.

INAHUSU YA MATRIMONIAL CAUSE.
HATUA AU UTARATIBU WA KUKTA RUFAA NI UPI IKIWA SIRARITHIKA NA HUKUMU ILIOSOMWA?
 
Okay ahsante. Nilitaka kujua baada ya hukumu kusomwa katka kesi za madai...mmojawapo kama hajaridhika...anatakiwa afanye nini ili kukidhi vigezo vya kukata rufaa?
 
habari wanasheria...nahitaji msaada wa kisheria kazini...mwanasheria mzuri eneo hili ani pm tufanye kazi..niko moshi
 
nami nahitaji msaada wa kisheria za kazi...mtaalam ani pm tufanye kazi niko moshi
 
Back
Top Bottom