Jaman mimi ni mwanafunzi wa SUA nimeandaa project plan ya ufugaji was nguruwe ila Sina mtaji naomba mwenye ushauri wa wadau wa maendeleo (stakeholders) ambao wanaweza kunisaidia kupata mtaji naombeni ushauri wenu tafadhali eneo tayari ninalo tatizo ni mtaji wa kununua chakula Cha hao nguruwe na kujenga mabanda japo nimejenga mabanda machache hadi sasa