Msaada wangu upo hivi.. ungana na vijana wenzako watano jichangeni mpate laki mbili na elfu hamsini.. kama ulivyosema umejenga mabanda machache Hiyo laki mbili na hamsini nunua vitoto/piglets wa kuanzia Pamoja na chakula .. nendeni halmashauri Ya maji mliopo kuna Tsh million kumi kwa kila kikundi ..
Andaeni katiba ,Tafuteni Mwanasheria ,Mkuu wa wilaya atakuja kukagua mradi wenu ukiridhisha mtapata pesa 10m au chini ya hapo.
Serikali imetenga milioni miatatu hamsini kila Halmashauri kwa ajili ya vijana kazi ni kwetu /kwenu