Msaada wa Ushauri

Msaada wa Ushauri

Ngulutu

Member
Joined
Apr 11, 2022
Posts
29
Reaction score
25
Habari zenu wakuu, mimi nimemaliza chuo hivi karibuni nikaingia katika field niliyosomea, ukemia , nikajikita kwenye ukemia wa plant kwa muda wa miezi kadhaa nikawa nime master vitu kwa kiasi kikubwa lakini changamoto sipati kazi na wala sijui cha kufanya.

Sehem niliyo anza kufanya kazi kama field niliacha kwa sababu alikuwepo mkemia aliyekuwa anafanya kazi na tajiri na sikuwa nalipwa. Kwa sasa kila nikijaribu kutafuta kazi, ni vigumu matajiri kuniamini kwa sababu hawanijui na hata nikipata wakemia ili wanishike mkono wananigeuka ni kama hawataki nijulikane kwa matajiri.

Naomba ushauri kwenu wakuu nifanyeje? Na hiyo ndio kazi niliyosomea nataka inisaidie?

Kwenu wakuu🙏
 
Naomba ushauri kwenu wakuu nifanyeje? Na hiyo ndio kazi niliyosomea nataka inisaidie?
Endelea kumshirikisha MUNGU, endelea kuwafuata hao hao wanakubania Mlango unaogongwa sana IPO siku utafunguliwa usichoke kugonga subiri nje usiondoke ukiona kimya gonga tena alie ndani akiona namna gani atatoka nje kuja kukusikiliza na kukukaribisha ndani akusikilize zaidi, all in all usiwe wa kukata tamaa easily unaweza kua ni kipimo tu Ila Jenga ukaribu na hao unaowatambua uliowaelezea usijikatie tamaa Mimi nishawahi sotea kazi zaidi ya Miezi 5 bado Mwezi wa 6 boss Mkurugenzi wa Kampuni akanipigia Simu kesho fika OFISINI kwangu uje nikusikilize, usichokitambua aliniambia siku HIO HIO nianze kazi mara moja kwa hio never lose hope
 
Endelea kumshirikisha MUNGU, endelea kuwafuata hao hao wanakubania Mlango unaogongwa sana IPO siku utafunguliwa usichoke kugonga subiri nje usiondoke ukiona kimya gonga tena alie ndani akiona namna gani atatoka nje kuja kukusikiliza na kukukaribisha ndani akusikilize zaidi, all in all usiwe wa kukata tamaa easily unaweza kua ni kipimo tu Ila Jenga ukaribu na hao unaowatambua uliowaelezea usijikatie tamaa Mimi nishawahi sotea kazi zaidi ya Miezi 5 bado Mwezi wa 6 boss Mkurugenzi wa Kampuni akanipigia Simu kesho fika OFISINI kwangu uje nikusikilize, usichokitambua aliniambia siku HIO HIO nianze kazi mara moja kwa hio never loose hope
Asante
 
Tatizo lako huna uvumilivu.
Ni kweli napenda mambo yaende haraka haraka, ngoja niwe na subira sema hivi vitu wakati mwingine vinanichanganya kuvumilia na kupoteza muda VINAFANA MNO😥
 
Habari zenu wakuu, mimi nimemaliza chuo hivi karibuni nikaingia katika field niliyosomea, ukemia , nikajikita kwenye ukemia wa plant kwa muda wa miezi kadhaa nikawa nime master vitu kwa kiasi kikubwa lakini changamoto sipati kazi na wala sijui cha kufanya.

Sehem niliyo anza kufanya kazi kama field niliacha kwa sababu alikuwepo mkemia aliyekuwa anafanya kazi na tajiri na sikuwa nalipwa. Kwa sasa kila nikijaribu kutafuta kazi, ni vigumu matajiri kuniamini kwa sababu hawanijui na hata nikipata wakemia ili wanishike mkono wananigeuka ni kama hawataki nijulikane kwa matajiri.

Naomba ushauri kwenu wakuu nifanyeje? Na hiyo ndio kazi niliyosomea nataka inisaidie?

Kwenu wakuu🙏
Kaombe casino dealer, utakutana na madoni huko
 
Back
Top Bottom