Msaada wa ushauri

Msaada wa ushauri

manyanga21

Senior Member
Joined
Aug 15, 2018
Posts
164
Reaction score
203
Msaada nina honda fit first generation, gari inamiss na kuishiwa nguvu kisha inazima na kuwaka taa ya check engine na taa ya betri baada ya muda inawaka , changamoto inaweza kuwa nini wajuzi na wazoefu
Nilipotazama feni ya ac haiwaki,ila feni ya engine inawaka fundi akanishauli nisitumie ac bado tatizo lipo Richa ya kutotumia ac
 

Attachments

  • IMG_20250122_195545_703.jpg
    IMG_20250122_195545_703.jpg
    120.5 KB · Views: 5
Back
Top Bottom