ALF
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 207
- 137
Habari zenu ndugu, nimekuwa nikivutiwa sana na ushauri mnaotoa juu ya mambo mbalimbali. Ushauri unaotolewa huwa unanipa moyo sana.
Mimi ni muajiliwa kwa miaka 13 sasa katika sekta binasfi nimebahatika kununua shamba lenye heka 12 maeneo ya kijiji cha mlanzi wilaya ya rufiji, mwaka jana nilibahatika kuchimba kisima, nimefunga pump na baada ya kujidunduliza nimeweza kupata Generator Used ambalo nategemea kuanza kupandisha maji kwajiri ya umwagiliaji tatizo linalonikabili mpaka sasa ni madeni niliopata baada ya kuanza project hii, naomba ushauri wako je ni mazao gani naweza kulima ambayo yatanisaidia kupata pesa nyingi ili niweze kulipa madeni hayo na kuingia moja kwa moja kwenye ujasiliamali na kuachana na utumwa wa kuajiliwa?.
Changamoto kubwa ya huko ni nguruwe wa porini, pia naomba ushauri namna ya kuwazibiti.
Naomba kuwasilisha.
Mimi ni muajiliwa kwa miaka 13 sasa katika sekta binasfi nimebahatika kununua shamba lenye heka 12 maeneo ya kijiji cha mlanzi wilaya ya rufiji, mwaka jana nilibahatika kuchimba kisima, nimefunga pump na baada ya kujidunduliza nimeweza kupata Generator Used ambalo nategemea kuanza kupandisha maji kwajiri ya umwagiliaji tatizo linalonikabili mpaka sasa ni madeni niliopata baada ya kuanza project hii, naomba ushauri wako je ni mazao gani naweza kulima ambayo yatanisaidia kupata pesa nyingi ili niweze kulipa madeni hayo na kuingia moja kwa moja kwenye ujasiliamali na kuachana na utumwa wa kuajiliwa?.
Changamoto kubwa ya huko ni nguruwe wa porini, pia naomba ushauri namna ya kuwazibiti.
Naomba kuwasilisha.