Naomba ushauri,kama mtu hakufanya vizuri form four akipata Div four,sasa amesoma kozi ndogo ndogo mpaka kufikia level ya Adv Dip,je hiki cheti cha form four kinatia aibu,je kwenye kuomba kazi nikitumie au kuna haja ya kurudia mitihani ya form four?
Naomba tafadhali ushauri na sio kupondea.
Asante
Naomba tafadhali ushauri na sio kupondea.
Asante