Ndugu zangu habari za leo? Bila shaka nyote mko salama, wale walio na magonjwa au shida mbalibali mwenye enzi Mungu awafanyie wepesi.
Ndugu zangu ninaomba kufahamu kuhusu ushuru wa boat ya uvuvi ya ukubwa wa 15m kwa 3m pamoja na upatikanaji wa vibali vya uvuvi.
Ndugu zangu ninaomba kufahamu kuhusu ushuru wa boat ya uvuvi ya ukubwa wa 15m kwa 3m pamoja na upatikanaji wa vibali vya uvuvi.