J Jerriez New Member Joined Apr 4, 2012 Posts 2 Reaction score 3 Aug 2, 2023 #1 Ndugu zangu habari za leo? Bila shaka nyote mko salama, wale walio na magonjwa au shida mbalibali mwenye enzi Mungu awafanyie wepesi. Ndugu zangu ninaomba kufahamu kuhusu ushuru wa boat ya uvuvi ya ukubwa wa 15m kwa 3m pamoja na upatikanaji wa vibali vya uvuvi.
Ndugu zangu habari za leo? Bila shaka nyote mko salama, wale walio na magonjwa au shida mbalibali mwenye enzi Mungu awafanyie wepesi. Ndugu zangu ninaomba kufahamu kuhusu ushuru wa boat ya uvuvi ya ukubwa wa 15m kwa 3m pamoja na upatikanaji wa vibali vya uvuvi.
Uhakika Bro JF-Expert Member Joined Mar 29, 2022 Posts 3,644 Reaction score 4,315 Aug 2, 2023 #2 Kwa wastani boat hiyo inauzwa tsh ngapi?
J Jerriez New Member Joined Apr 4, 2012 Posts 2 Reaction score 3 Aug 2, 2023 Thread starter #3 Uhakika Bro said: Kwa wastani boat hiyo inauzwa tsh ngapi? Click to expand... 160m
Uhakika Bro JF-Expert Member Joined Mar 29, 2022 Posts 3,644 Reaction score 4,315 Aug 2, 2023 #4 Jerriez said: 160m Click to expand... Duh, sio kitoto asee mia na sitini parefu.