Msaada wa Vifaa vya kilimo vilivyoko kwenye Kundi la Msamaha wa Kodi(KILIMO KWANZA)

Msaada wa Vifaa vya kilimo vilivyoko kwenye Kundi la Msamaha wa Kodi(KILIMO KWANZA)

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Wakuu nimeshindwa mahali pa kupata list ya mashine au aina ya Mashine za kilmo zenye msamaha wa Kodi endapo unaagiza kutoka Nje, lengo langu nilitaka kujua kama Mashine ya Vifaranga incubators imo kwenye hilo kundi au haimo
 
Chasha ni kweli umeleta hoja hii muda muafaka! Wanaojua hebu tusaidieni kuweka wazi hili. Je mashine za kupandia, kupalilia, kupulizia madawa shambani, kuvunia mazao nazo je zinahusika hapa? Au ni matrekta tu?
 
Chasha ni kweli umeleta hoja hii muda muafaka! Wanaojua hebu tusaidieni kuweka wazi hili. Je mashine za kupandia, kupalilia, kupulizia madawa shambani, kuvunia mazao nazo je zinahusika hapa? Au ni matrekta tu?

Ya mashine ya Fifaranga niliwaandika email TRA na wamenijibu kwamba haitozwi kodi, ni kwamba ziko nyingia sana, hadi Genreata kama unampango wa kulitumia Shambani au kwenye ufugaji unaweza ingiza bila Kodi
 
Chasha ni kweli umeleta hoja hii muda muafaka! Wanaojua hebu tusaidieni kuweka wazi hili. Je mashine za kupandia, kupalilia, kupulizia madawa shambani, kuvunia mazao nazo je zinahusika hapa? Au ni matrekta tu?

Hizo zote ni hazina kodi wala ushuru ni gharama zako za clearance na Port charges tu
 
Hiyo ya kwako nenda SIDO usichezee dola bure. Vifaa vyote vya kilimo na hela hawakupi wewe wanamlipa supplier
 
Ya mashine ya Fifaranga niliwaandika email TRA na wamenijibu kwamba haitozwi kodi, ni kwamba ziko nyingia sana, hadi Genreata kama unampango wa kulitumia Shambani au kwenye ufugaji unaweza ingiza bila Kodi
How do you prove unaitumia shamba,nadhani imefika wakati sasa wajasiliamali kwenye sekta za kilimo na ufugaji kuwa na registered companies......sidhani kama individual ukipresent kuwa unaingiza Generator watakuacha hivihivi
 
How do you prove unaitumia shamba,nadhani imefika wakati sasa wajasiliamali kwenye sekta za kilimo na ufugaji kuwa na registered companies......sidhani kama individual ukipresent kuwa unaingiza Generator watakuacha hivihivi

Inatakiawa upitie wizara ya Kilimo ndo wanatoa kibali cha wewe kuto lipa kodi
 
Mkuu nazani ni docoment zako ikiwemo za usajili wa biashara yako ya kilimo
 
sijaelewa,kumbe kuna wajasiriamali wa kilimo na wakulima? je mtu anayemiliki shamba (ardhi) yupo katika kundi gani?
 
Back
Top Bottom