Msaada Wa Vyuo Vinavyotoa Kozi Za Afya Kwa Matokeo Haya

Hamad Mtwale

Member
Joined
Jan 27, 2014
Posts
10
Reaction score
2
Habari Zenu Wanaforums Nakuja Kwenu Kutaka Ushaur Wenu. Nina Ndugu Yangu Amefanya Mtihan Wa Kidato Cha Nne Mwaka 2012 Na Matokeo Yake Hist D Math D Bios D Geo D Civ D Chem D Kisw F Engl F Phy F Na Anapenda Kozi Za Afya Yani Laboratory Technician Sasa Ninachokihtaji Ni Vyuo Gan Vizur Vinatoa Kozi Hyo Na Viwango Vyao Au Kozi Ipi Anaweza Kusoma Katika Afya Ukiacha Nersing?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…