Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Facebook Moja ndo nn kkFacebook moja sio
Fanya biashara ya vitenge toa zambia leta TanzaniaWakuu toka nizaliwe sijawahi fanya biashara yoyote na kwa sasa nna kama 2m naomben wazo la biashara ili niweze kuiendeleza View attachment 3196977
AsanteFanya biashara ya vitenge toa zambia leta Tanzania
Kabla ya kupata ushauri kwa watu.....Wakuu toka nizaliwe sijawahi fanya biashara yoyote na kwa sasa nina kama shilingi milion 2
Naomben wazo la biashara ili niweze kuiendeleza
Nikividaka atarudi kuwasimulia alivyopoteza mtaji wote pale MpembaFanya biashara ya vitenge toa zambia leta Tanzania
Benki ipi kiongozi, na riba ikoje?Kachukue bajaj ya mkopo bank hiyo pesa ongezea kidogo iwe kama kianzio hitojutia
Jamani 😅😅😅😅Nikividaka atarudi kuwasimulia alivyopoteza mtaji wote pale Mpemba
Nichek pm kwa maelezo zaidi mkuuBenki ipi kiongozi, na riba ikoje?