popo1986 JF-Expert Member Joined Jul 30, 2014 Posts 1,120 Reaction score 372 Jul 15, 2015 #1 Wadau, Naomba msaada nimeamua kufanya kilimo cha biashara kwaajili ya kujiongezea kipato baada ya kuona upenyo wa maisha ni mgumu sana. Naomba mawazo yenu na kama unaweza kuni pm
Wadau, Naomba msaada nimeamua kufanya kilimo cha biashara kwaajili ya kujiongezea kipato baada ya kuona upenyo wa maisha ni mgumu sana. Naomba mawazo yenu na kama unaweza kuni pm
bab-D JF-Expert Member Joined May 2, 2015 Posts 1,215 Reaction score 322 Jul 15, 2015 #2 Soma zilishajadiliwa humu, kisha linganisha na ulipo
Revocatus Costantine New Member Joined Apr 21, 2014 Posts 2 Reaction score 0 Jul 17, 2015 #3 kilimo cha ufuta kipo vizuri sana!