Msaada wa windows 10 pro (Kama upo ARUSHA)

Msaada wa windows 10 pro (Kama upo ARUSHA)

dongbei

Senior Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
158
Reaction score
147
Habari wakuu,

Naomba msaada wa installation ya windows (10 preferably; ila nikipata nyingine siyo mbaya). Baada ya windows nahitaji drivers zote muhimu. Naweza kukufuata popote ulipo Arusha mjini, kama unaweza kuja Njiro pia siyo mbaya tutengeneze na urafiki kabisa.

Kama utahitaji malipo kwa kazi hii naomba unifahamishe mapema na ni kiasi gani.
 
Habari wakuu,

Naomba msaada wa installation ya windows (10 preferably; ila nikipata nyingine siyo mbaya). Baada ya windows nahitaji drivers zote muhimu. Naweza kukufuata popote ulipo Arusha mjini, kama unaweza kuja Njiro pia siyo mbaya tutengeneze na urafiki kabisa.

Kama utahitaji malipo kwa kazi hii naomba unifahamishe mapema na ni kiasi gani.
Download Officially kwa Microsoft then tengeneza bootable piga mwenyewe ntakupa activation keys (no hidden charges)... Achaneni na Pirated Windows sitasahau zilichonifanya hizi windows cracked.
 
Habari wakuu,

Naomba msaada wa installation ya windows (10 preferably; ila nikipata nyingine siyo mbaya). Baada ya windows nahitaji drivers zote muhimu. Naweza kukufuata popote ulipo Arusha mjini, kama unaweza kuja Njiro pia siyo mbaya tutengeneze na urafiki kabisa.

Kama utahitaji malipo kwa kazi hii naomba unifahamishe mapema na ni kiasi gani.
Kwa dunia ya sasa achana na cracked windows kama huna ela tumia Linux.
 
Habari wakuu,

Naomba msaada wa installation ya windows (10 preferably; ila nikipata nyingine siyo mbaya). Baada ya windows nahitaji drivers zote muhimu. Naweza kukufuata popote ulipo Arusha mjini, kama unaweza kuja Njiro pia siyo mbaya tutengeneze na urafiki kabisa.

Kama utahitaji malipo kwa kazi hii naomba unifahamishe mapema na ni kiasi gani.

Naona watu wanojua kupiga window wanachukulia simple sana kisa wao wanajua wanamwambia kirahisi mtoa maada ajipigie window, si kila mtu anajua haya mambo ndio maana mdau kaja kutafuta anaejua wanaojua.

Mkuu ulieleta uzi, kwenye window tafuta mtu akupigie umlipe, cost haiwezi kuzidi elf 10 ila kwa kuwa wewe wa Njiro mitaa ya ushuani toa hata 20 (na nauli humo humo)

Kwa sasa fanya maandalizi ya kudownload drivers za pc yako ili akifika umrahisishie kazi, taja aina ya pc yako nikupe link za kudownload drivers uzitunze aje kushughulika nazo mtaalam.

Ingia hili group la It weka tenda vijana watachangamkia, usiweke namba wasubiri wa comment, utaeona yupo serious nenda nae inbox au mwombe namba >> Войдите на Facebook
 
Download Officially kwa Microsoft then tengeneza bootable piga mwenyewe ntakupa activation keys (no hidden charges)... Achaneni na Pirated Windows sitasahau zilichonifanya hizi windows cracked.
Shukrani sana kaka, nitakurudia nikikamilisha zoezi uliloshauri. Umeme umekuwa changamoto sana mitaa hii. Quick question, pc iko na windows 7 already ambayo key yake ime-expire. Do i need to un-install hii windows7 kwanza au naweza fanya kama nina update windows?
 
naona watu wanojua kupiga window wanachukulia simple sana kisa wao wanajua wanamwambia kirahisi mtoa maada ajipigie window, si kila mtu anajua haya mambo ndio maana mdau kaja kutafuta anaejua wanaojua.

mkuu ulieleta uzi, kwenye window tafuta mtu akupigie umlipe, cost haiwezi kuzidi elf 10 ila kwa kuwa wewe wa njiro mitaa ya ushuani toa hata 20 (na nauli humo humo)

kwa sasa fanya maandalizi ya kudownload drivers za pc yako ili akifika umrahisishie kazi, taja aina ya pc yako nikupe link za kuownload drivers uzitunze aje kushughulika nazo mtaalam.

Ingia hiligroup la It weka tenda vijana wa
gamkia, usiweke namba wasubiri wa comment, utaeona yupo serious nenda nae inbox au mwombe namba >> Войдите на Facebook
Mkuu asante, sema nini mwanangu? Njiro kwa kawaida sana hakuna cha ushua wala nini, hata wa kawaida sana tunaishi. Karibu sana mkuu. Windows naweza weka mwenyewe sema sina tools kwa sasa na sipendi kuweka cracked.
 
Naona watu wanojua kupiga window wanachukulia simple sana kisa wao wanajua wanamwambia kirahisi mtoa maada ajipigie window, si kila mtu anajua haya mambo ndio maana mdau kaja kutafuta anaejua wanaojua.

Mkuu ulieleta uzi, kwenye window tafuta mtu akupigie umlipe, cost haiwezi kuzidi elf 10 ila kwa kuwa wewe wa Njiro mitaa ya ushuani toa hata 20 (na nauli humo humo)

Kwa sasa fanya maandalizi ya kudownload drivers za pc yako ili akifika umrahisishie kazi, taja aina ya pc yako nikupe link za kudownload drivers uzitunze aje kushughulika nazo mtaalam.

Ingia hili group la It weka tenda vijana watachangamkia, usiweke namba wasubiri wa comment, utaeona yupo serious nenda nae inbox au mwombe namba >> Войдите на Facebook
Mimi nna desktop nahitaji window, maana nilinunua mtumba ikawa jna window 7, je naweza kupata window ya juu kabisa?
 
Naona watu wanojua kupiga window wanachukulia simple sana kisa wao wanajua wanamwambia kirahisi mtoa maada ajipigie window, si kila mtu anajua haya mambo ndio maana mdau kaja kutafuta anaejua wanaojua.

Mkuu ulieleta uzi, kwenye window tafuta mtu akupigie umlipe, cost haiwezi kuzidi elf 10 ila kwa kuwa wewe wa Njiro mitaa ya ushuani toa hata 20 (na nauli humo humo)

Kwa sasa fanya maandalizi ya kudownload drivers za pc yako ili akifika umrahisishie kazi, taja aina ya pc yako nikupe link za kudownload drivers uzitunze aje kushughulika nazo mtaalam.

Ingia hili group la It weka tenda vijana watachangamkia, usiweke namba wasubiri wa comment, utaeona yupo serious nenda nae inbox au mwombe namba >> Войдите на Facebook
Nimejifunza kupiga windows hata lisaa halikuisha mnamo mwaka 2016 baada ya kumpa jamaa hela windows yenyewe haikuingia completely ikasababisha PC kuleta mafua mafua nikaona huu uzembe sasa nikaamua kuzama chimbo hadi leo hii najua ku install OS mbali mbali hata zenye process ngumu zote zilijifunza huko YouTube na Google (GitHub, UDEMY & XDA Forums), dunia ya leo hii ndugu ya utandawazi kila kitu kipo YOUTUBE na GOOGLE huko bureee unaangalia tutorials then una igiliza mambo yanasonga... Acheni kukaza MAFUVU na kukaa kizembe kihivyo... Na imani mtoa mada ni mjanja na ataweza tu, akiwa serious kujua kupiga Windows hakuchukui hata lisaa.....
 
Thanks, but Linux siipendi. Nina kazi nyingi sana na pc and I find linux not friendly user.
Kama ni mtu wa kazi nyingi sana, Weka Windows 10 Pro tu.. Usije kuweka Windows 11 kisa eti ni Latest kuna baadhi ya programs kwenye hii Windows nimeona ufanisi wa kufanya kazi ni mdogo sana ni kama ina minor bugs bado haijawa vizuri..
 
Back
Top Bottom