Msaada wa wizi wa mtandao

Msaada wa wizi wa mtandao

DUMEGUY

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2014
Posts
499
Reaction score
206
habari, nilifanya biashara na mtu simfahamu nilikutana nae kwenye mtandao mmoja wa biashara eletronics, simu aliisifia kua haina shida yeyote ila nilinunua na kusahau kuitest memory card nilivyofika nyumbani nikakuta hahisomi na alieniuzia nimempigia kasema halipi na nifanye chochote, nilikua naomba ushauri je naweza kumfungulia kesi ya mizi kwa mtandao au lah.
 
Back
Top Bottom