Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 51
Wana JF naomba kama kuna mdau anayo messenger ile ya zamani nataka ku install katika computer yangu nimetafuta katika net bila mafanikio. Kwani hii iliyokuwepo mpya ya Automatic uki log in nayo inafungua aikidhi matakwa yangu please wana JF tuma katika frankrwegoshora@yahoo.com
Wana JF naomba kama kuna mdau anayo messenger ile ya zamani nataka ku install katika computer yangu nimetafuta katika net bila mafanikio. Kwani hii iliyokuwepo mpya ya Automatic uki log in nayo inafungua aikidhi matakwa yangu please wana JF tuma katika frankrwegoshora@yahoo.com
sign out! Then kwenye hiyo window ya yahoo, baada ya password
1.remember my id and password
2.sign inn automatically
3.sign inn as invisible to everyone
kwenye hizo option tatu unapewa option ya ku select(tick) ambayo unahitaji. kwa tatizo lako inabidi uondoe tick kwenye option zote. Usiweke tick.
sawa mpendwa?
absolutely wrong!
wewe tatizo lako ni hiyo "sign in automatically" mjumbe vivian amekujibu vizuri kabisa naona huyo GP ameamka vibaya!!!!