Baba D, ina maana kwa sasa unaitumia hiyo modem kwenye laptop ? na kutumia mitandao yote?
Kama ndiyo, unaweza kunipa details ulivyofanikisha hiyo kazi?.
asante
Nah, naitumia kwenye DeskTop ya Dell lakini nadhani kama imeweza kwenye DTop basi hata kwenye laptop itawezekana.
Kuna link humu ambazo ukizifuata unaweza ukaifanikisha hio shughuli wewe mwenyewe ama m-PM Baba Juice atakupa msaada.
tatizo langu ni hilo kwamba baada ya kuichakachua Modem yangu sijaweza kuunganisha mtandao kupitia Zain ama Tigo kwa vile bado sija-install settings za mitandao hiyo kwenye comp yangu. Ndicho ninachoomba msaada.
...Itakuwa vizuri kama ukieleza ni modem ya aina gani unayotumia. Kwa ufupi toa basic specs zake.
...Kama ni hizi za ku-connect via usb port, nyingi huwa na interface ya kuweka hizo settings.
...tiGO na Zain apn yao ni moja nayo ni internet, na hamna kitu ingine inatakiwa, at least kwa GSM connection.
Asante Mkuu Dar c Lamu! Modem yangu ni Huawei E220 zile za mwanzo kabisa za ku-connect via usb port through cable fupi. sio hizi stick. Nilitegemea kuwa baada ya kuichakachua, nikiweka chip ya Zain ama Tigo basi internet setting zitaji-run zenyewe automatic kama ilivyokuwa wakati nilipoweka Voda kwa mara ya kwanza na kazi yangu itakuwa kuminya 'connect' tu na mambo yanajipa!
Bahati mbaya nikiweka chip ya Tigo ama zain naona kimya tu, hakuna kinachoendelea.
Msaada tafadhali.
Hizo laini unazotaka kutumia ni mpya au ushawahi kuzitumia?Asante Mkuu Dar c Lamu! Modem yangu ni Huawei E220 zile za mwanzo kabisa za ku-connect via usb port through cable fupi. sio hizi stick. Nilitegemea kuwa baada ya kuichakachua, nikiweka chip ya Zain ama Tigo basi internet setting zitaji-run zenyewe automatic kama ilivyokuwa wakati nilipoweka Voda kwa mara ya kwanza na kazi yangu itakuwa kuminya 'connect' tu na mambo yanajipa!
Bahati mbaya nikiweka chip ya Tigo ama zain naona kimya tu, hakuna kinachoendelea.
Msaada tafadhali.
Ninapoziweka laini ya Zain ama Tigo sipati interface yoyote zaidi ya ile ya Voda.
Wataalamu wa JF, kupitia msaada wenu nimeweza hatimaye kuchakachua Modem yangu ya Voda iweze pia kutumika na mitandao mingine. Asanteni.
Tatizo ni kuwa sina manual internet setting (ama Setup?) za mitandao ya Zain na Tigo kwenye DTop yangu hivyo bado sijaweza kupata internet kupitia mitandao hiyo.
Nijuavyo, Internet setting za mitandao hiyo huingia moja kwa moja kwenye Computer pale unapochochemeka zile Stick-Modem zao.
Naomba msaada wa kupata na kuingiza setup za internet za zain na Tigo kwenye DTop yangu ili niweze kutumia Modem yangu ya Voda niliyochakachua... Natanguliza shukurani.
Sina hakika kama inafanana na hii ninayotumia, "Profile Name" haitabadilika, itabaki vilevile Vodacom, haitaandika Zain au Tigo in your case.
Ila ukikonekti, kama kweli uliichakachua kikamilifu, itakonekti kw kutumia mtandao wa line iliyopo ndani.
Hebu nenda kwenye "Tools>>>Diagnostics" uone kama haipo. Kama haipo basi hujachakachua vizuri. Ukieleza ulifanyaje kuichakachua hiyo modem ingekuwa nafuu zaidi. Ulibadili ISO au kwa unlock code?
swali lako limenifanya nifanye zoezi la kujaribu sim card zingine other than ile niliyonunua pamoja na moderm ambayo ninayo. nami nilichakachua moderm ya kampunoi fulani. zoezi langu limefanikiwa. sasa jaribu ifuatavyo:
1. chukua sim card kama ni ya zain au tigo(ingawa hii hata wenyewe inawashinda ku configure) weka kwenye simu isiyo ya kichina. nenda kwenye kampuni husika wakufanyie config manually.
2. baada ya hapo na1 rudi nyumbani/ ofcn na uipachike hiyo sim card kwenye moderm yako ya voda. pachika moderm kwenye computer whether DT or Notebook.
3. badili profile name kutoka vodacom ambayo ni default pname to new profile1 - choice hizi zipo hapo2 you dont have to create or type.
4 ukipata maelezo ya dial ignore or cancel na uombe ku connect upya. fanya hivyo hadi upate connection.
5. pia hakikisha browser unayoitumia umeielekeza isi dial up bali i connect kwenye internet moja kwa moja.
kama nimeeleweka jaribu. mie na swap kadi za kampuni zote kubwa kutumia moder moja iliyochakachuliwa. benefit ni kuwa moja ikiisha hela natumia ingine au net ikiwa low nabadili. kwa ujumla wote wanapata hela kama kawa.
Mzee nimekukubali,nitaku-PM kwa maelezo zaidi coz kununua modems 3 tofauti ni ufisadi!!swali lako limenifanya nifanye zoezi la kujaribu sim card zingine other than ile niliyonunua pamoja na moderm ambayo ninayo. nami nilichakachua moderm ya kampunoi fulani. zoezi langu limefanikiwa. sasa jaribu ifuatavyo:
1. chukua sim card kama ni ya zain au tigo(ingawa hii hata wenyewe inawashinda ku configure) weka kwenye simu isiyo ya kichina. nenda kwenye kampuni husika wakufanyie config manually.
2. baada ya hapo na1 rudi nyumbani/ ofcn na uipachike hiyo sim card kwenye moderm yako ya voda. pachika moderm kwenye computer whether DT or Notebook.
3. badili profile name kutoka vodacom ambayo ni default pname to new profile1 - choice hizi zipo hapo2 you dont have to create or type.
4 ukipata maelezo ya dial ignore or cancel na uombe ku connect upya. fanya hivyo hadi upate connection.
5. pia hakikisha browser unayoitumia umeielekeza isi dial up bali i connect kwenye internet moja kwa moja.
kama nimeeleweka jaribu. mie na swap kadi za kampuni zote kubwa kutumia moder moja iliyochakachuliwa. benefit ni kuwa moja ikiisha hela natumia ingine au net ikiwa low nabadili. kwa ujumla wote wanapata hela kama kawa.
unlocking Huawei E220
Step 1: First you need to download the software pack essential for unlocking E220 modem. Click Here To download it for FREE. There is no need to get the latest version of E220 Firmware for unlocking. Its just used for detecting the Harware Interface.
For Hex Editor, QMAT and E220 SimLock Unlock Tool requires no installation. They are just perfectly safe .exe files, simply double click on them to run.
Step 2:
Now youll get the following window. Select I accept the agreement:
- Remove the SIM card and connect the E220 USB Modem to the PC
- Run the E220 Firmware
Unlock Huawei E220 HSDPA Modem - Step 2
Then wait untill it detects the modem interface. After the detection of Modem, you will get the following window. Press Cancel:
Unlock Huawei E220 HSDPA Modem - Step 2,b
Press Yes to Quit from the Firmware Update Process and this completes Step 2:
Unlock Huawei E220 HSDPA Modem - Step 2,c
Step 3:
Run QMAT and select : Hardware Forensics -> Use Com/USB Port:
Unlock Huawei E220 HSDPA Modem - Step 3,a
Select the correct COM interface which was detected by Firmware Updater:
Unlock Huawei E220 HSDPA Modem - Step 3,b
Select Command VERNUM and Press Send Cmd. Then you will get version number and display Successfully Send Command at Bottom of the window if you correctly set the COM interface. If this not succes then make sure you are selected correct COM interface
Unlock Huawei E220 HSDPA Modem - Step 3,c
Now Select Read EFS and set the End address as 00001000 and then press Lets Go. Now you will be asked to save the file. Give the name as Flash.bin and save it anywhere. You will get Successfully read EFS if everything went ok.
Step 4:
Run XVI32 Hex Editor and Open the saved file Flash.bin:
Unlock Huawei E220 HSDPA Modem - Step 4,a
Find the String 53 64 2C 00 in the dump. Select menu item, Search -> Find:
Unlock Huawei E220 HSDPA Modem - Step 4,b
In the same line of the corresponding place of the right side window will show the 8 digit lock code of your modem. It is easy to find, because there is no other 8 consecutive digit in the same line of the string 53 64 2C 00. Just keep searching until you find an 8 digit code grouped together.
Unlock Huawei E220 HSDPA Modem - Step 4,c
Step 5:
Run E220 SIM Lock Unlock and enter the unlock code of your modem:
Unlock Huawei E220 HSDPA Modem - Step 5
Your Huawei E220 HSDPA Modem should now be unlocked to any network..enjoy!
...Mkuu Gurta, Ninakushukuru sana kwa Msaada wako ila naona hii kitu haitaki maendeleo yangu! Nime-click hapo kwenye hio Free download ya hiyo Software imenipa Code 404 kwamba Page Not Found! Unaweza kuniwekea lingine mkuu? na samahani sana kwa Usumbufu huu.
Baba D, gonga hapa mara moja...Mkuu Gurta, Ninakushukuru sana kwa Msaada wako ila naona hii kitu haitaki maendeleo yangu! Nime-click hapo kwenye hio Free download ya hiyo Software imenipa Code 404 kwamba Page Not Found! Unaweza kuniwekea lingine mkuu? na samahani sana kwa Usumbufu huu.