Rejea kichwa cha habari hapo juu, mm ni mwanafunzi mwaka wa tatu (sokoine university) nahitaji kufahamu uingiapo kazini loan board huwa wanakata kiasi gani kila mwezi na kwa miaka mingapi
Pleeeeez kwa Mwenye uzoefu atueleze .
Rejea kichwa cha habari hapo juu, mm ni mwanafunzi mwaka wa tatu (sokoine university) nahitaji kufahamu uingiapo kazini loan board huwa wanakata kiasi gani kila mwezi na kwa miaka mingapi
Pleeeeez kwa Mwenye uzoefu atueleze .
Hofu ya nini mapema hivo hata utumishi wa umma hawajakuajiri na payroll ya serikali hujui utaingia lini, nashauri maliza chuo na uepuke disco zisizo za lazima hapo SUA. Ukishaingia kwenye ajira ndio utajua mchakato ukoje wa makato