Nina mwezi wa nne sasa nahisi kama naungua sehemu za siri mpaka mapajani, nimewaona madoctor nimetumia karibia antibiotic zote lakini moto kama unazidi.
No mi ni mwanaume...sina discharge...ila ni kama miwasho kuanzia kwenye magoti kupanda juu sehemu yote ya siri mpaka ktk ya msamba kuelekea matakon...hakuna vipele wala nini..sina maumivu wakati wa kukojoa ila ni miwasho tu
Umesha kata ramli ama unashangaa.kam madokta wameshindwa.nami nliumwa san years ago nikachek magonjw ya msing nikaona no faster ramli ndo pone yangu otherwise ningekuwa nshalamba mchanga baba
Umejaribu kutumia anti fungal drugs kama clotrimazole cream au candistat au whitefield?? unaweza jaribu nunua moja ya hizo plus ununue na fluconazole caps 150mg bd kwa wiki moja.... in case ikiendelea rudi utoe mrejesho au kamwone daktari wa ngozi...