Msaada wadau: Nikiwa kwenye gari naumwa kichwa na kupata kizunguzungu

Prince Luanda

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
2,255
Reaction score
2,825
Hili tatuzi linekua likinisumbua kwa muda mrefu yani nikiwa kwenye gari naanza kupata kizunguzungu na maumivu ya kichwa hali hii inanifanya nichukie kusafiri.

Hii hali ikoje wadau?
 
Una ule ugonjwa kwa kizungu unaitwa "motion sickness"...kwa ushauri zaidi muone daktari
 
kuna baadhi ya watu ambao miili yao hurespond differently wakati wakitumia usafiri sanasana ule wa umma.

Public transport..wengine hutapika, wengine huhisi kizunguzungu na pia kuna wale hujihisi joto joto..hili ni jambo ambalo kwa wakati mwingi husababishwa na tunachokiita insufficient oxygen hivyo ni vyema kuchukua nafasi mahala ambapo utaweza kupata hewa safi ili mwili wako uweze kusafisha damu sawasawa

kama shida hii ikiendelea waweza ukamuona daktari kwa mengi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…