laurentie Senior Member Joined Feb 24, 2012 Posts 100 Reaction score 77 Aug 21, 2017 #1 Habari za jioni wadau ukiibiwa ukiwa ndani ya bank na ikithibitika kuwa kwli uliibiwa ukiwa ndani ya bank je liability itakua kwa bank au itakua ya kwako mteja?ukiibiwa na kibaka ukiwa ndani ya bank na ikathibitika kweli uliibiwa na ushahidi upo Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za jioni wadau ukiibiwa ukiwa ndani ya bank na ikithibitika kuwa kwli uliibiwa ukiwa ndani ya bank je liability itakua kwa bank au itakua ya kwako mteja?ukiibiwa na kibaka ukiwa ndani ya bank na ikathibitika kweli uliibiwa na ushahidi upo Sent using Jamii Forums mobile app
carcinoma JF-Expert Member Joined Mar 5, 2017 Posts 5,059 Reaction score 13,771 Aug 21, 2017 #2 Fafanua vizuri... Ukiibiwa na kibaka au jambazi aki rob bank na wewe ukiwemo akachukua na pesa yako? Au ukiibiwa na wafanyakazi wa bank? Sent using Jamii Forums mobile app
Fafanua vizuri... Ukiibiwa na kibaka au jambazi aki rob bank na wewe ukiwemo akachukua na pesa yako? Au ukiibiwa na wafanyakazi wa bank? Sent using Jamii Forums mobile app
casanova69 JF-Expert Member Joined Sep 14, 2015 Posts 2,361 Reaction score 2,166 Aug 22, 2017 #3 ikiibiwa mikononi mwako iyo ni hasara yako.ni sawa tuu ukiibiwa ukiwa bar au kwenye basi