Kuna kitu kinaitwa kupiga unguka ! Sorry mate that can be helpful if only worse gets to worst
Kama alishaamua sijui kama atakubali ngoja nijaribu kumpm but njia nyingine rahisi ni kwenda naye, kwanini usimfuate hukohuko?
Hakuna cha bure ndugu wewe kaongee na wazazi wa Cheusi rekebisha mambo aah binti atakuwa nawe kila siku kifuani mwako akideka na kuchezea gadeni lavu!:teeth:
Sikatai wacha wazazi hata kijiji kizima nitaongea nao au nilihutubie taifa kabisa baada ya kununua muda ITV,inabidi tuzoeane kwanza na muda huu wa likizo ni mzuri.
Mpe sababu nzuri yakubaki....mwaga sera na ilani mwandikie!!!Wadau wa jukwaa hili kwa heshima na taadhima nawaomba mnisaidie kumshawishi cheusi wangu(cheusimangala) asiende kuhasabiwa x-mas hii karibu na mlima mrefu kuliko yote africa na akubali kuwa nami tusherehekee sikukuu ya x-mas na mwaka mpya pamoja hapa bongo.Nahitaji msaada wenu wapwas na binamus msiniangushe siko tayari kuwa mpweke x-mas hii.
Rev. unaniangusha best nipigie ndogo ndogo binti abaki bongo.
Tutakufariji katika wakati mgumu utakaokuwa nao.
Hakuna cha bure ndugu wewe kaongee na wazazi wa Cheusi rekebisha mambo aah binti atakuwa nawe kila siku kifuani mwako akideka na kuchezea gadeni lavu!:teeth:
Kweli shosti'angu anapendwa njemba iko tayari kutalk na whole village ? au kuomba ridhaa ya wa-TZ ?
Wadau wa jukwaa hili kwa heshima na taadhima nawaomba mnisaidie kumshawishi cheusi wangu(cheusimangala) asiende kuhasabiwa x-mas hii karibu na mlima mrefu kuliko yote africa na akubali kuwa nami tusherehekee sikukuu ya x-mas na mwaka mpya pamoja hapa bongo.Nahitaji msaada wenu wapwas na binamus msiniangushe siko tayari kuwa mpweke x-mas hii.