Msaada wadau

Mzee wa Torano

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2014
Posts
519
Reaction score
700
Nina ndugu yangu anafanya kazi kampuni Fulani sasa ,chakushangaza HRM wa hiyo kampuni ,kawaambia walinzi asiingie ndani,pia kazuia mshahara wake wa miezi miwili na kikubwa zaidi computer yake amepewa MTU mwingine atumie

Na akimpigia HRM hapokei,wala SMS hajibu

Mbaya zaidi hana ,BARUA yoyote ya ONYO,KUFUKUZWA wala KUSIMAMISHWA

Je hapa nani ana HAKI ?,nani atakua KAVUNJA mkataba?

Nawasilisha
 
Ah akafuate sheria Japo atapoteza time nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…