Msaada wadau!

Msaada wadau!

Naisujaki Lekangai

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
1,340
Reaction score
1,377
Mjomba wangu ni mpenzi kichaa wa ligi ya uingereza. Amenitembelea na kwenye tv yangu hataki kitu kingine ila ligi ya uingereza. Nina king'amuzi cha startimes na nimelipia sh. 12,000. Je, ni channel ipi inayoonesha ligi uingereza?
 
TV1 wanaonyesha mechi 1 tu siku ya jmosi. Kwa king'muzi kinachonyesha mechi nyingi ni DSTV.
Kama una uwezo funga DSTV
 
Back
Top Bottom