msaada wadau

david08606

Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
47
Reaction score
4
Nashindwa kuelewa hawa jamaa wa necta jins walivyopanga matokeo ya ualimu mana wameweka centre no tu,agg, point na masomo. Nachoshindwa kuelewa ni jins ya kusoma huyu ni nani.in short hakuna no za mitihani wala majina ya wanafunz so 2nasomaje kujua huyu ni nani
 
namba ya kituo na mwanafunzi zipo - mfano


[TD="width: 6%"] E0524/0005
[/TD]
[TD="width: 6%"]

[/TD]
[TD="width: 4%"]

[/TD]
[TD="width: 58%"]

[/TD]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…