Msaada Wadau!

Mdau Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2009
Posts
233
Reaction score
46
Wadau naomba mwenye kujua matatizo ama dalili kuwa kimeo(tule tudude tunaokaa juu ya ulimi na karibu na koo) kwamba kinahitajika kukatwa ni nini!namishukuru wadau kwa msaada wenu
 
Iwapo huhisi tatizo lolote wala usihangaike na issue za kukata kimeo.

Na ukihisi shida kinywani nenda hospitali.

Usikimbilie kwa wakata vimeo wa mitaani. Unaweza kujizulia shida kubwa zaidi kuliko tatizo lako la kwanza. (mfano tetanus, maambukizi mengine, kupoteza damu nyingi, ukimwi nk).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…