mfereji maringo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 1,041
- 257
Salaam wanabodi
Naomba link ya kujoin whatsap group la wafugaji wa ng'ombe na mbuzi,
Nategemea kuanza ufugaji, hivyo nahitaji maarifa kutoka kwa wafugaji na wadau kutoka huko.
Nategemea msaada
Maendeleo hayana vyama
Naomba link ya kujoin whatsap group la wafugaji wa ng'ombe na mbuzi,
Nategemea kuanza ufugaji, hivyo nahitaji maarifa kutoka kwa wafugaji na wadau kutoka huko.
Nategemea msaada
Maendeleo hayana vyama